April 26, 2015

 Bondia nyota, Wladimir Klitschko amemaliza ufalma wa miaka saba katika mashirikisho ya IBF, WBA na WBO aliokuwa anashikilia Bryant Jennings.

Klitschko amemtwanga Jennengs kwa pointi katika pambano lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Madison Square Garden nchini Marekani.

Klitschko  ameibuka na ushindi wa jumla baada ya majaji wote watatu kumpa ushindi wa 116-111, 118-109 na 116-111.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic