April 12, 2015



Mechi ilikuwa tamu, dakika 45 za kwanza zimekamilika huku wenyeji Yanga wakiwa wanaongoza kwa mabao 2-1.


Mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara imekuwa tamu kutokana na timu zote kucheza vizuri na kushambuliana kwa zamu.

Mabao ya Yanga yamefungwa na Mliberia, Kpah Sherman na Salum Telela aliyepiga shuti kali baada ya kupokea pasi ya Haruna Niyonzima.


Bao la Mbeya City limefungwa na mkongwe Themi Felix aliyewatoka mabeki Nadir Haroub na Oscar Joshua kabla ya kufunga kiufundi kabisa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic