April 26, 2015


Kipigo cha mabao 3-0 dhidi ya Simba kiliwafanya mashabiki wa Ndanda FC waishio jijini Dar es Salaam washindwe kujizuia.


Mashabiki hao waliingia kwenye vurugu kubwa dhidi ya baadhi ya viongozi wao baada ya kipigo hicho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Mmoja wa shabiki alimtwanga ngumi kiongozi mara tu baada ya mechi hiyo na kusababisha vurugu kubwa.


Hata hivyo, baadhi ya mashabiki na viongozi waliingiza na kupoza ugomvi huo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic