April 25, 2015

Wadau wengi wa soka wamekuwa wakichambua kwamba mechi ngumu katika nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ni kati ya Barcelona dhidi ya Bayern Munich.

Lakini mechi ya pili ya Real Madrid dhidi ya Juventus ni laini tu.
Hivyo wanaona mechi hiyo ya kwanza inawahusisha Simba na ile ya pili ni paka ambao ni  Real Madrid dhidi ya panya yaani Juventus.

Hivyo atakayeshinda katika mechi ya Simba dhidi ya Simba ni nafasi kubwa kutwaa ubingwa huo.

Yote yanawezekana lakini usishangae panya akatinga fainali dhidi ya Simba ingawa wengi wanabashiri itakuwa ni Simba dhidi ya paka. Hehehehe.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic