| RUVU SHOOTING |
Timu za Ruvu Shooting na Polisi Moro, rasmi zimeteremka daraja.
Timu hizo zimetoka Ligi Kuu Bara hadi Ligi Daraja la Kwaza baada
ya zote mbili kupoteza michezo yao leo.
Ruvu Shooting imepoteza mchezo wake kwa kuchapwa bao 1-0 dhidi
ya Stand United katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Kambarage mjini
Shinyanga.
Wakati Polisi Moro nayo imedidimizwa mjini Mbeya baada ya kuchapwa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City.







0 COMMENTS:
Post a Comment