May 9, 2015

NDANDA
Ndanda imeepuka kuporomoka hadi daraja la kwanza baada ya kuichapa Yanga kwa bao 1-0.


Katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara, Yanga ndiyo walioshambulia mara nyingi zaidi.

Hata hivyo, Ndanda walionekana kucheza kwa umakini mkubwa na ushindi huo wa bao moja, umewawezesha kufikisha pointi 31.

Pointi 31, zimeifanya Ndanda ishike nafasi ya ishike nafasi ya tisa nyuma ya Ruvu JKT.


Yanga walisafiri kwenda Mtwara wakiwa mabingwa, pia wakiwa wamepoteza mechi yao iliyopita dhidi ya Azam FC ambayo walilala kwa mabao 2-1.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic