May 13, 2015


  

Pamoja na kuonekana ni timu ‘mchekea katika nne zilizoingia nusu fainali, Juventus imefanikiwa kutonga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Juventus imeingia fainali na sasa itacheza dhidi ya Barcelona Juni 6, mwaka huu jijini Berlin, Ujerumani.
Imetinga fainali baada ya kuing’oa Real Madrid kwa jumpa ya mabao 3-2 katika mechi ya nusu fainali ya pili iliyopigwa kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu.

Mechi hiyo iliisha kwa sare ya bao 1-1 baada ya Ronaldo kuanza kuifungia Madrid kwa penalti kabla ya Alvaro Morata kusawazisha katika kipindi cha pili.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic