May 12, 2015

NGASSA AKIWA NA KOCHA PHIRI AMBAYE ALIMPOKEA BAADA YA KUTUA AFRIKA KUSINI.
Mrisho Ngassa ametua zake Free State Star ya Afrika Kusini na kupokelewa kwa shangwe.

Mmoja wa waliompokea ndani ya aneo la Bethlehem ni Kocha Kina Phiri, mshambuliaji wa zamani nyota wa Malawi.

Ngassa amejiunga na Free State Star akitokea Yanga ambayo ameichezea kwa mafanikio makubwa.

Ngassa ameiambia SALEHJEMBE kutoka Afrika Kusini kuwa mambo yanakwenda vizuri.


“Lakini ningependa nimalize mambo kadhaa muhimu hapa halafu tutazungumza,” alisema mtoto huyo wa mshambuliaji nyota wa zamani wa Pamba ya Mwanza na Simba, Khalfan Ngassa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic