June 15, 2015


Kinda Bakari  Masudi amtua African Sports kwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja.


BEKA (KUSHOTO) WAKATI AKIWA YANGA.
Bakari maarufu kama Beka, alikuwa mmoja wa makinda waliokuwa wanakuzwa Yanga na kuonyesha kipaji kizuri.


Hata hivyo badilishabadilisha ya makocha ilimkumba na kumfanya aingie katika wakati mgumu wa kukosa nafasi.

Lakini mbele ya viongozi wa African Sports, kinda huyo amesaini mkataba wa mwaka mmoja.

African Sports kutoka Tanga imekuwa ikiimarisha zaidi na zaidi mara tu baada ya kurejea Ligi Kuu Bara ikishinda nafasi ya pili nyuma ya mabingwa Mwadui FC.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic