July 27, 2015


Licha ya kupewa mapumziko na Kocha wake, Arsene Wenger, mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez ameendelea kujifua kinoma.


Sanchez ambaye yuko kwao Chile baada ya mafanikio makubwa ya kuliwezesha taifa lake kubeba ubingwa wa Copa America, lakini ameendelea kujifua ufukweni.

Kumbuka Sanchez alipewa mapumziko na Wenger, lakini yeye kaendelea kujiweka fiti.

Hii inaonyesha kiasi gani watu walivyo makini na kazi zao. Unaweza kujifunza, usiridhike mapema.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic