August 9, 2015

Baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tottenham ulioiwezesha Man United kuanza Ligi Kuu ya England vizuri, Kocha wake, Louis van Gaal amesherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kumchukua mkewe na kwenda kula naye chakula cha usiku.



Van Gaal alianza vituko kwa kuimba kwenye mkutano wa waandishi akionyesha kusherekea kufikisha miaka 64, baada ya hapo akamchukua mkewe na kwenda naye kula chakula cha usiku.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic