August 9, 2015


Neymar ataikosa mechi ya Uefa Super Cup wakati Barcelona itakapoivaa Sevilla, kesho.


Pamoja na mechi ya kesho, Neymar ataikosa pia mechi ya Super Cup ya Hispania Barcelona itakapocheza dhidi ya Athletic de Bilbao.

Neymar analazimika kuzikosa mechi zote mbili kutokana na kuwa majeruhi.

Kocha Luis Enrique ametangaza kumuengua Neymar ili apate matibabu sahihi.



Lakini amesisitiza juhudi zinafanyika ili kuhakikisha anarejea dimbani wakati wa mechi yao ya  ufunguzi wa La Liga wakatapotua uwanjani Jumapili Agosti 23 kuwavaa Athletic Bilbao.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic