August 9, 2015

Kocha Louis van Gaal wa Manchester United amekubali kuwa  pamoja na kuanza ligi na ushindi lakini hawako vizuri sana.


Van Gaal raia wa Uholanzi amesema Man United inalazimika kujipanga zaidi ili kuboresha kiwango chake.

“Hakika tuna bahati, haikuwa lahisi. Tumeshinda lakini lazima tujiimarishe zaidi katika sehemu mbalimbali.

“Hatukuwa katika kiwango kizuri tunachoweza kusema tumeshinda na tuna kiwango bora,” alisema.


Man United imeanza Premier League kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tottenham ambao walijifunga.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic