Unaweza kujiuliza maswali, hawa viongozi wa Simba
walikuwa wanazungumza nini. Angalia Makamu wa Rais wa Simba, Geofrey Nyange
Kaburu anavyoteta na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Musley Al Rawah ambaye
alisafiri kutoka Oman na kuiwahi mechi ya kirafiki Simba ikicheza na Mwadui na
mwisho ikawa sare ya bila mabao.
Lakini pembeni yao kuna wajumbe wengine wa kamati ya
utendaji, Said Tully (kulia na kushoto) ni Mohammed Nassor ‘Kigoma’, wote
wamenuna sana. Vipi au yule Papa Niang kutoka Senegal amewakwaza?
Weka maelezo yako mwenyewe…
0 COMMENTS:
Post a Comment