November 5, 2015



Mwandishi Wetu, Afrika Kusini
Kikosi cha Taifa Stars kiliendelea na mazoezi yake jana na leo pia kitafanya mara mbili kwa siku chini ya Kocha Charles Boniface Mkwasa.

Stars inafanya mazoezi katika eneo la Woodmid jijini Johannesburg, Afrika Kusini kujiandaa na mechi yake dhidi ya Algeria, Novemba 14.

Mkwasa amesema mazoezi yataendelea leo na wamekuwa wakifanya mazoezi makali ili kuhakikisha wako vizuri.

Angalia picha za mazoezi ya jana jioni  yalivyokuwa.













0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic