November 5, 2015


Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm ameamua kumalizia mapumziko yake jijini dar es Salaam.


Wakati Ligi Kuu Bara ikiwa imesimama kwa takribani wiki mbili, Pluijm amesema ataendelea kubaki jijini Dar es Salaam.

“Nitakuwa Dar es Salaam na familia yangu, pia nitaendelea na mipango kwa ajili ya maandalizi ya ligi,” alisema.

Awali kulikuwa na taarifa, Pluijm angerejea Ghana kwa ajili ya mapumziko ya kifamilia.

Yanga iko katika nafasi ya pili ikiwa na point 23 nyuma ya Azam FC yenye pointi 25.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic