November 8, 2015



Zlatan Ibrahimovic amepiga bao mbili na kuisaidia Paris Saint-Germain kuinyoosha Toulouse kwa mabao 5-0 katika mechi ya Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama League One, jana.


Katokana na ushindi huo, PSG sasa imepaa kwa pointi na kuifanya iongoze kwa tofauti ya pointi 13.

Pamoja na Ibrahimovic kupiga bao mbili, wengine waliotupia ni hiyo jana ni Angel Di Maria, Lucas Moura na Ezequiel Lavezzi.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic