November 9, 2015

Taifa Stars leo imemaliza programu yake ya mazoezi katika kambi ya hapa jijini Johannesburg kujiandaa na mechi yake dhidi ya Algeria.

Mazoezi ya leo yamefanyika kwenye Uwanja wa Edenvale jijini hapa na baada ya hapo, Stars kesho saa 10 jioni hapa na 11 nyumbani inashuka dimbani kuwavaa timu ya taifa ya Afrika Kusini chini ya miaka 23.
Tayari Afrika Kusini imetangaza kikosi chake ambacho kitaivaa Stars hiyo kesho.
Kwa mujibu wa Kocha Charles Boniface Mkwasa, wachezaji wa Stars watapasha kidogo kuweka miili sawa kwa ajili ya mechi hiyo ya kesho.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic