December 19, 2015


Nyota wakubwa duniani katika soka kama David Beckham, Louis Figo, Alexandro del Piero, Robert Pires, Deco; Dwight Yorke; Andriy Shevchenko na Roberto Carlos waliungana tena na kucheza mechi pamoja nchini Kuwait.

Ilikuwa mechi maalum kufungua Uwanja wa Jaber Al-Ahmad unaobeba watazamaji 60,000 na watandelea na ziara hiyo katika nchi za Kiarabu.

Pamoja na Figo na Pires kutupia, lakini mechi hiyo iliisha kwa wakali hao kulala kwa mabao 4-2 dhidi ya nyota wa Kuwait wanaocheza katika timu mbalimbali za Ligi Kuu.

KIKOSI CHAO KILIVYOKUWA:
(4-4-2):
 Jens Lehmann; Gianluca Zambrotta, Michel Salgado, Alessandro Nesta, Roberto Carlos; David Beckham, Luis Figo, Robert Pires, Deco; Dwight Yorke; Andriy Shevchenko.
Subs: David James, Carles Puyol, Mohamed Aboutrika, Del Piero
Manager: Fabio Capello













DAIL MAIL

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic