December 10, 2015


Hata timu kubwa au kongwe wakati mwingine zinakuwa na visingizio vinavyoweka kwenye kundi la vichekesho.


Manchester United nao wametoa kali, kwamba joto kali katika vyumba vya kubadilishia nguo kwenye Uwanja wa Volkswagen lilikuwa ni tatizo kubwa kwao.

Man United walipigwa wenyeji wao Wolfsburg wa Ujerumani kwa mabao 3-2 na kung’olewa kwenye  mbio za kuwania kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya.
 
Man Unitd wanaporomoka hadi kwenda katika michuano ya Euro kitu ambacho mashabiki wengi wanaona kama si saizi yao.

Taarifa zimeeleza kwamba Kocha wa Man United, Louis van Gaal na wachezaji wake walilazimika kuomba kuongezwa kwa hali ya hewa ya baridi wakiwa vyumbani kwani ilikuwa ikiwasumbua sana. Eeh!



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic