April 11, 2016


Naamini unajua nembo kuu ya klabu ya Coastal Union ni mbwa, ndiyo hao waliomuangusha myama, Simba kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwa kumchapa mabao 2-1, leo.

Ilikuwa mechi ya Kombe la Shirikisho, Simba ikalala kwa Coastal Union ambayo ni dhoof lhali katika Ligi Kuu Bara.

Lakini ikaonyesha makali kwa kuichapa Simba kwa mabao 2-1 na kusonga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho.





1 COMMENTS:

  1. NA BADO,SUBIRINI KICHAPO KIKALI TOKA KWA AZAM.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic