June 20, 2016


Nyota wa kikapu LeBron James amekamilisha ndoto yake ya kuiwezesha timu yake ya Cavaliers kubeba ubingwa wa Ligi ya Mpira wa Kikapu nchini Marekani maarufu kama NBA.

Cavaliers wamewatwanga wapinzani wao wakubwa Golden State Warriors kwa point 93-89 na kufanikiwa kushinda mchezo wa mwisho wakiwa ugenini.

Ilikuwa ni mechi ya kukata na shoka na Cavaliers walionyesha wamepania kufanya makubwa ugenini licha ya nyota Stephen Curry kuonekana kikwako kwao.

Kwa mara nyongine, James aliibuka bora katika mechi hiyo baada ya kumaliza akiwa na pointi  27 points, asisti 11 na ribaundi 11.














0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic