June 5, 2016



Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema atarudi mapema zaidi kwa kuwa anahitaji kuanza maandalizi mapema.

Pluijm ambaye yuko mapumzikoni nchini Ghana ambako ndiko anakoishi, amesema anahitaji kuanza maandalizi mapema.

“Mechi za Kombe la Shirikisho zina ugumu, ninahitaji kuanza maandalizi mapema zaidi.

“Huku nilipo, pia kuna maandalizi nimekuwa nikifanya. Kazi itakuwa ngumu,” alisema.


Yanga imefanikiwa kufuzu kucheza hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic