July 30, 2016



Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amezindua rasmi kikosi cha kuipandisha KMC FC katika Ligi Kuu  Bara na moja ya mambo aliyofanya ni kumkabidhi jezi yake kiungo mpya wa timu hiyo, Athumani Iddi ‘Chuji’.

Chuji ambaye ni nyota wa zamani wa Simba, Yanga na Mwadui FC amejiunga na timu hiyo tayari kabisa kuhakikisha msimu uhao inapanda daraja.



Pamoja na Chuji wengine ambao wamesajiliwa na KMC FC ni Eric Mawala (kutoka Mbeya city), Issa Ngoah (Simba), Rashid Roshwa (Kagera Sugar), Lembele Jerome (Kagera Sugar) na Mussa Kidu (JKT Ruvu).



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic