Pamoja na burudani nyingine, Kocha Mkuu wa Chelsea, Antonio Conte anaonekana atakuwa burudani katika suala la midadi.
Kocha huyo anaonekana kutotulia kabisa kwenye benchi na mechi ya Chelsea ikishinda mabao 2-1 dhidi ya West Ham, ilikuwa shida.
Angalia picha hizo namna Conte aliyetokea Juventus ya Italia, alivyoongeza burudani kwenye Ligi Kuu England.
0 COMMENTS:
Post a Comment