KWA KUWA MAN UNITED VS ARSENAL IMEISHA KWA SARE YA 1-1, PICHA HII NDIYO GUMZO, CHAGUA MWENYEWE NI PENALTI AU LA... Beki wa Man United, Antonio Valencia akipambana na wa Arsenal Nacho Monreal. Valencia alianguka na Man United walikuwa wakidai kuwa ni mkwaju wa penalti, lakini mwamuzi akasema, kipute kiendelee.
0 COMMENTS:
Post a Comment