December 29, 2016



Dereva nyota wa mbio za F1 au Langalanga, Michael Schumacher amepata nafuu baada ya kukaa kitandani kwa miaka mitatu akiwa mgonjwa.

Taarifa zimeeleza matibabu pekee ya Schumacher  kwa muda wa miaka mitatu, yamegharimu kitita cha pauni milioni 14 (zaidi ya Sh bilioni 3.6).

Schumacher  alianguka akiteleza kwenye barafu nchini Uswiss wakati wa kipindi cha baridi.

Raia huyo wa Ujerumani, alitawala kwa muda mwingi katika mashindano hayo ya mbio za magari ya F1.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic