January 2, 2017



Azam FC imeanza vizuri katika michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Zimanimoto.

Azam FC ilipata bao lake la ushindi katika dakika ya 79 kupitia Shaaban Iddi katika dakika ya 79.

Hata hivyo, Azam FC ingeweza kupata mabao zaidi kama washambuliaji wake wangekuwa makini katika kipindi cha pili.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic