YANGA ILIVYOPATA SARE YA BILA BAO VS ZANACO ILIYOSONGA KWA FAIDA YA BAO LA UGENINI Yanga imetoka sare ya bila kufunga dhidi ya Zanaco kwenye Uwanja wa Mashujaa mjini Lusaka, Zambia, leo. Sare hiyo inawang’oa katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuwa mechi ya kwanza jijini Dar es Salaam, kulikuwa na sare ya bao 1-1. Zanaco inasonga mbele kwa bao la ugenini.
0 COMMENTS:
Post a Comment