April 20, 2017



Hatimaye mshambuliaji Obrey Chirwa ameanza mazoezi na kikosi cha Yanga.

Yanga imeanza mazoezi leo kwenye Uwanja wa Polisi Kilwa Road na Chirwa aliyegoma safari ya Algeria akiungana na wenzake.

Chirwa raia wa Zambia aligoma kwenda ALgeria alitaka kulipwa mshahara wake ambao haukuwa umelipwa.

Aligoma kutoa pasi yake ya kusafiria kwa viongozi wa Yanga ili kuanza maandalizi ya safari.


Lakini leo, Chirwa akiwa pamoja na Vicent Bossou wameanza mazoezi na kikosi kizima cha Yanga.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic