April 28, 2017



Mshambuliaji mkongwe wa Man United, Zlatan Ibrahimovic amekataa mshahara wake hadi atakapopona.

Zlatan alisaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Man United na anatakiwa kulipwa pauni 250,000 kila wiki, yeye amesema hataki mshahara hadi atakapopona.


Aliumia katika goti katika mechi dhidi ya Anderlecht ya Ubelgiji na sasa atalazimika kukaa nje kwa miezi tisa

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic