May 15, 2017


Baada ya upasuaji wake wa goti kwenda vizuri, Zlatan Ibrahimovic ameamua kubaki nchini Marekani na kujipumzisha.

Zlatan ataukosa msimu wote wa Ligi Kuu England ikiwemo mechi ya fainali ya Europa League dhidi ya Ajax ya Uholanzi.
Hali hiyo inatokana na kuumia goti na kufanyiwa upasuaji nchini Marekani na sasa ameamua kujipumzisha mjini Miami, Florida.









0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic