May 4, 2017



Kwa kweli huyu Floyd Mayweather anaweza kukuua kwa presha, maana anavyoshikilia hiyo “minoti”, angekuwa anajua hali yetu hapa Bongo, wala asingethubutu. Maana unaweza kujikuta unataka kuinyakulia picha fedha zinazoonekana. Au kama ndiyo ungekuwa na gun, mwanangu unaipiga picha “telo”.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic