May 10, 2017


Coutinho amekutana na msala huo baada ya kuhudhuria hafla fupi ya kufunga msimu iliyoandaliwa na klabu hiyo.

Imeelezwa mashabiki watukutu ndiyo walilishambulia gari hilo wakati yeye na wachezaji wenzake na mkewe Aine wakiendelea na sherehe katika hafla hiyo ilikuwa ikifanyika kwenye Uwanja wa Anfield.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic