May 10, 2017



Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya itapigwa Juni 3, mwaka huu jijini Cardiff na itawakutanisha Juventus dhidi Real Madrid.

Madrid imepoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Atletico Madrid leo. Lakini imefuzu kwa jumla ya mabao 4-2 baada ya ushindi wa 3-0 kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu.

Mabao ya Atletico Madrid yamefungwa na Saul na Antoinne Griezmann na lile la Madrid likafungwa na Isco.

Kumbuka Juventus wamefuzu kwa kuiondoa AS Monaco ya Ufaransa na sasa ni fainali ya vigogo na wakongwe kutoka Hispania na Italia.




Atletico Madrid starting XI: Oblak, Gimenez, Savic, Godin, Filipe Luis, Koke, Gabi, Saul, Carrasco, Torres, Griezmann 
Subs: Miguel Moya, Tiago, Correa, Lucas, Gameiro, Thomas, Gaitan 

Real Madrid starting XI: Navas, Danilo, Sergio Ramos, Varane, Marcelo, Kroos, Casemiro, Modric, Isco, Benzema, Ronaldo 
Subs: Casilla, Nacho, Rodriguez, Kovacic, Lucas, Marco, Morata


























0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic