May 21, 2017


Real Madrid wamekuwa mabingwa wapya wa La Liga baada ya kuichapa Malaga kwa mabao 2-0.

Pamoja na ushindi wa BArcelona wa mabao 4-2 dhidi ya Eibar, haukuweza kuwazuia Madrid kubeba ubingwa kwa tofauti ya pointi 3.

Maana yake, Madrid chini ya Zinedine Zidane imefanikiwa kubeba ubingwa wa La Liga na kusitisha ufalme wa Barcelona mfululizo katika La Liga.

Katika mechi ya leo, bao la kwanza lilifungwa na Cristiano Ronaldo na la pili likafungwa na Karim Benzema.




Malaga (4-2-3-1): Kameni; Torres, Hernandez, Villanueva, Ricca; Recio, Camacho; Keko (Castro 60), Fornals, Jony (Duda 72); Sandro Ramirez (Charles 69)
Unused subs: Demichelis, Juan Carlos, Santos, Boyko
Bookings: Kameni 56, Jony 57


Real Madrid (4-3-3): Navas; Danilo, Varane, Ramos, Marcelo; Modric, Casemiro (Kovacic 66), Kroos; Isco (James 66), Benzema (Morata 73), Ronaldo
Unused subs: Casilla, Nacho, Asensio, Vazquez
Goals: Ronaldo 2, Benzema 56
















0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic