May 19, 2017

Man United imefanya hafla ya kukabidhi tuzo kwa wachezaji wake mbalimbali na Antonio Valencia ameibuka na kuwa mchezaji bora wa mwaka akiwa bao nyota wengine akiwemo Zlatan Ibrahimovic.

MCHEZAJI BORA WA MWAKA:
Antonio Valencia



BAO BORA LA MSIMU
Henrikh Mkhitaryan



MCHEZAJI KIJANA BORA WA MWAKA 
Angel Gomes







1 COMMENTS:

  1. Naomba muwe makini katika taarifa zenu...Valencia ameshinda tuzo ya Players' player of the year, na aliechukua tuzo ya united player of the year ni Ander Herrera so angalieni vyanzo vyenu vya habari

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic