July 24, 2017


Manchester City imemsajili Mendy kutoka AS Monaco ya Ufaransa.

Man City imetoa pauni million 52 kumpata MEndy ambaye anakuwa beki wa tatu wa pembeni kusajiliwa na Kocha Pep Guardiola kwa ajili ya msimu ujao.


Tayari City ilikuwa imetumia pauni million 133 kusajili mabeki wa pembeni hali ambayo imekuwa ikiwashangaza wadau wengi wa soka.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic