July 27, 2017



Mtoto wa nyota wa zamani wa Barcelona na Ajax, Patrick Kluivert a’mekuwa mwanamichezo mdogo zaidi kupata mkataba na kampuni ya mavazi kama Nike.

Shane Kluivert anayecheza Paris Saint-Germain ameingia mkataba wa kuvaa Nike akiwa na miaka tisa.

Baba yake, yaani Kluivert ndiye amechangia katokana na kumtupia mwanaye mtandaoni mara mara akionyesha kipaji chake na kadhalika.


Hali hiyo imechangia kuwavutia wadhamini hao.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic