July 26, 2017



Mabingwa wa soka Tanzania, Yanga wanaondoka leo kwenda mjini Morogoro.

Yanga ilianza kujiandaa jijini Dar es Salaam kwa mazoezi mepesi kabla ya kuingia gym.


Lakini leo, timu hiyo inaingia kambini rasmi kwenda kujiweka sawa kwa ajili ya msimu ujao.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic