July 25, 2017


Kipa kinda Ramadhani Kabwili amesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea Yanga.

Kabwili ambaye aling’ara na timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys anaingia kwenye kundi la makipa watatu wa Yanga.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic