August 24, 2017


Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ametangazwa kuwa mwanasoka bora wa Uefa Champions League msimu wa 2016-17 na ndiye mwanasoka bora wa Ulaya.


Ronaldo amewashinda Lionel Messi na Gigi Buffon wa Juventus na kufanikiwa kubeba tuzo hiyo.

Hata hivyo ilionekana tokea mapema, Ronaldo angebeba tuzo hiyo kutokana na mafanikio aliyopata akiwa na Madrid kwa msimu wa 2016-17.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic