September 10, 2017


PSG ilimsajili Neymar kutoka FC Barcelona na kuvunja ile safu maarufu ya ushambulizi ya MSN, yaani Lionel Messi, Luis Suarez na Neymar.

Baadaye ikamnasa Kylian Mbappe kutoka AS Monaco ya Ufaransa pia ili kuweka safu ya uhakika ya ushambulizi.


Sasa uhakika, safu hiyo ambayo unaweza kuiita CMN, yaani Cavani, Mbappe na Neymar imekamilika na katika mechi dhidi ya Metz, kila mmoja amefunga wakati PSG ikishinda kwa mabao 5-1.

1 COMMENTS:

  1. Je vois Neymar comme un Ronaldo ou un Messi, le type qui apparaƮt et fait bouger les choses.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic