September 21, 2017


Kiungo Emmanuel Martin yuko tayari kwa ajili ya mchezo ujao dhidi ya Ndanda FC.

Mshambulizi huyo ambaye aliumia katika mechi iliyopita dhidi ya Majimaji ya Songea, amerejea mazoezini tokea juzi na jana tulikutaarifu.


Lakini leo ameendelea na mazoezi na inaonekana yuko tayari kwa ajili ya mechi hiyo itakayopigwa katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, keshokutwa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic