Man United leo iko ugenini kwenye Uwanja wa Anfield dhidi ya wageni wake Liverpool.
Nakipanga kikosi kwa kuchukua vikosi vyote viwili halafu naangalia mchezaji wa timu ipi angepata nafasi ya kucheza.
Hapa ninachoangalia ni ubora na mchezaji wa kikosi kipi anaweza kumtoa wa kikosi kingine kutokana na ubora wake.
Nakuruhusu kupanga chako...
Hapa ninachoangalia ni ubora na mchezaji wa kikosi kipi anaweza kumtoa wa kikosi kingine kutokana na ubora wake.
Nakuruhusu kupanga chako...
0 COMMENTS:
Post a Comment