Nyamayao (kushoto) akisalimiana na Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Saleh Ally, baada ya kuwasili katika Ofisi za Kampuni hiyo zilizopo, Sinza Mori, Dar.
…. Akisalimiana na Mhariri wa Championi Ijumaa, John Joseph.
…. Akisalimiana na Mhariri wa Championi Jumatano, Philip Nkini.
BALOZI wa StarTimes Tanzania, ambaye hufanya tafsiri ya filamu za Kichina kwa Lugha ya Kiswahili ambazo hurushwa na StarTimes, Nyamayao ametembelea Ofisi Mpya za Kampuni ya Global Publishers zilizopo Sinza Mori jijini Dar es Salaam na kupata fursa ya kubadilishana mawazo na wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Katika mahojiano hayo, Nyamayao ameanika mengi ikiwemo maisha yake ya sasa na mipango yake ya baadaye.
0 COMMENTS:
Post a Comment