November 16, 2017


Sportpesa wameendelea kuchanja mbuga na SHINDA NA SPORTPESA baada ya mfanyabiashara Nyakanazi, Bukoba, Wilson Wincheslaus Ngemela kushinda.

Tayari Ngemela mwenye umri wa miaka 21, amekabidhiwa Bajaj yake ya kisasa aina ya TVS King Deluxe.

Furaja ya Ngemela ilionekana wakati akikabidhiwa Bajaj iliyo aliyoshinda katika droo ya 14.

SHINDA NA SPORTPESA ndiyo shindano kubwa zaidi ambalo litatoa Bajaj 100 kwa wale wanaobashiri kupitia SportPesa. 



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic