November 12, 2017



Real Madrid inaonekana haitanii kuhusiana na Neymar na tayari imetenga kitita cha euro milioni 200.

Taarifa zimeeleza, Madrid imepanga kumsainisha Neymar ikimshukua kutoka PSG ya Ufaransa.

Neymar amejiunga na PSG akitokea Bacelona na alisajiliwa kwa dau la pauni milioni 198.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic