TASWIRA SENEGAL ILIVYOITWANGA SAUZ 2-0 UGENINI NA KUFANIKIWA KUFUZU KOMBE LA DUNIA Senegal imeitwanga Afrika Kusini kwa mabao 2-0 na kufanikiwa kupata nafasi ya kucheza Kombe la Dunia mwakani huko Russia. Afrika itawakilishwa na nchi tano ambazo ni Misri, Morocco, Tunisia, Nigeria pamoja na Senegal.
0 COMMENTS:
Post a Comment