Kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula ameibuka mchezaji bora wa kikosi hicho kwa mwezi Desemba, mwaka jana.
Manula ndiye amefunga mwaka katika kikosi hicho akiwa mchezaji bora na tayari zawadi yake hii hapa ameishakabidhiwa.
Manula ambaye amejiunga na Simba akitokea Azam FC amekuwa akionyesha mwendo mzuri.
0 COMMENTS:
Post a Comment